Want to learn how to sing this song? You can find the Lyrics below to Rayvanny's "Nitongoze" right here on Musik8 -Go To Play-
Weka shida chini glass juu tujipongeze
Usijali wanafki wambea chapa mziki wote tucheze
Enh wanny boy
Chui
Platnumz
(S2kizzy baby)
Maswali mengi kwa waiter hauna hela nini (eeti)
Hiyo shingapi, hii shingapi hauna hela nini (eeti)
Maswali...⇣ More
Weka shida chini glass juu tujipongeze
Usijali wanafki wambea chapa mziki wote tucheze
Enh wanny boy
Chui
Platnumz
(S2kizzy baby)
Maswali mengi kwa waiter hauna hela nini (eeti)
Hiyo shingapi, hii shingapi hauna hela nini (eeti)
Maswali mengi kwa waiter hauna hela nini (eeti)
Ile shingapi, hii shingapi hauna hela nini
Nimeachwa staki tena maswali
Naenda beach kula upepo wa bahari
Naumwagilia moyo mziki kwa mbali
Jimbo lipo wazi sema nitakubali
Eti unantaka?
Eti unanipenda? (basi nitongoze)
Unantaka?
Eti unanipenda? (basi nitongoze)
Unantaka?
Eti unanipenda? (basi nitongoze)
Unantaka?
Eti unanipenda? (basi nitongoze)
Eh bwana wee
Hela ya kodi… nainywea pombe
Baba mwenye nyumba akileta fyoko natia makonde
Na kama hayanogi mapenzi usikonde
Akiringa akwende, chukua mwingine sio kinyonge
Yu kwapili?
Yu kwapili huyo? (basi nitongoze)
Yu kwapili?
Yu kwapili huyo? (basi nitongoze)
Yu kwapili?
Yu kwapili huyo? (basi nitongoze)
Yu kwapili?
Yu kwapili huyo? (basi nitongoze)
Nimeachwa staki tena masw
Naenda beach kula upepo wa bahari
Naumwagilia moyo mziki kwa mbali
Jimbo lipo wazi sema nitakubali
Eti unantaka?
Eti unanipenda? (basi nitongoze)
Unantaka?
Eti unanipenda? (basi nitongoze)
Unantaka?
Eti unanipenda? (basi nitongoze)
Unantaka?
Eti unanipenda? (basi nitongoze)
Eh bwana wee
(S2kizzy baby)
Zombie
Onyesha boxer
Ash tuone boxer
Nyenyua shati ingia kati tuone boxer
Onyesha boxer
Ash tuone boxer
Nyenyua shati ingia kati tuone boxer
⇡ Less
Administrator
Days Ago
Sorry! The Comment Section Was Recently Disabled So You Wont Be Able To Comment on Rayvanny's Nitongoze Track | Song